Thursday, November 15, 2012
Kanye West, Alicia Keys kuperform katika tamasha kubwa litakatokwenda kwa jina la Hurricane Sandy Benefit
wakali hao wataperform katika tamasha hilo tarehe "12.12.12".na lengo kubwa katika tamasha hilo ni kuwapa moyo wahanga wa kimbunga cha sandy .tamasha hilo ambalo lipochini ya usimamizi wa Madison Square Garden Company, Clear Channel Media and Entertainment pamoja na The Weinstein Company, pia lita husisha artist wafuatao Jon Bon Jovi, Billy Joel, Paul McCartney, Bruce Springsteen & the E Street Band, The Who, Roger Waters na wengine kibao.
Wednesday, November 14, 2012
SAIGON ASEMA ANGEKUWA NA UWEZO ANGEWACHAPA NGUMI RICK ROSS & 2 CHAINZ…….
Asubuhi ya j5 ya leo Nov 14….mtu
mzima Saigon amegonga interviews mbili ambazo kila moja amejaribu kuzungumzia
mambo tofauti…interview yake ya kwanza amefanya na mtandao wa ThisIs50 ambapo
ameegemea zaidi ishu yake na member wa Mobb Deep…Prodigy…interview yake ya pili
amefanya ndani ya Power 105.1.
Leo nadondoka na interview yake
ndani ya Power 105.1 coz nahisi alichozungumzia katika interview hiyo kina
mguso wa hali ya juu…rapper huyo kutoka New York amesema angekuwa na uwezo
angewachapa ngumi Rick Ross na 2 Chainz na kuwafanya mfano kwa rappers wengine
wote wenye muelekeo kama wao.
Kikubwa ambacho kimepelekea Saigon kusema
hivyo ni content (maudhui) ya muziki wa Rick Ross na 2 Chainz ambao yeye
anauona ni hatari kwa kizazi cha sasa (teenagers)…kizazi ambacho yeye anafahamu
kuwa ndo kizazi shabiki cha muziki wa HipHop na anaufananisha muziki wa rappers
hao na rappers wengine wengi wanaochipuka kama uyoga hivi sasa na wenye
muelekeo huo na movie za ngono.
“Iko nje ya uwezo wangu…lakini
unafahamu..??ningekuwa na uwezo ningewachapa ngumi kama wasipobadili jumbe za
nyimbo zao…ningependa kuwachapa ngumi kila mmoja…Rozay, 2 Chainz na yeyote
anayetengeneza muziki unaoharibu watoto wetu…mi nashangaa…hawa wote
wanalitegemea soko hili la hawa watoto…sote tunafahamu kuwa hata ukienda
kununua movie za ngono…kuna utaratibu wake ki-umri…so inakuwaje unaimba
visivyostahili kwa watoto na soko lako ni hao watoto..??sitaki kutengeneza
battle na watoto wangu mwenyewe ambao wamekuwa influenced na muziki wao…nina
watoto mimi ujue..??Kuna siku nilikuwa kwenye 106 & Pack…nilihuzunika sana
kuona mabinti wadogo wenye miaka 13 au 14 wanafuatisha lyrics zenye maneno
yanayozungumzia malaya wanavyofanya ngono…nikashtuka sana…nikawaza nani
alaumiwe kwa hili..”?..amesema Saigon.
Akaongeza..”siwataji Rick Ross, 2
Chainz na wengineo pekee…bali ni mtu yeyote anayehusika na hilo…wote lao
moja…kwangu mimi maendeleo ya rap ni kutafuta kinachoipandisha na kuishusha
pia”.
DIAMOND THE PLATNUM AFUNGUKA KUHUSIANA NA AJALI ILIYOMPATA'
DIAMOND:-Tarehe 10 ya mwezi wa 11 siku ya juma mosi ni moja ya siku ambazo sitozisahau maishani mwangu.
Baada
ya kumaliza majukumu yangu ya kila siku, nilikwenda masaki kumwona
mmoja wa jamaa zangu wa karibu nikiwa na Blogger wangu Bestizzo pamoja
na mwanafamilkia ya wasafi Dumi(Dancer) Mishale
ya saa moja hivi nikiwa maeneo ya masaki karibu na kona ya msasani
nilipata ajali ambayo haikuwa kubwa sana ingawa imesababisha uharibifu
kwa kiasi kikubwa, Kama mjuavyo barabara ya msasani ni ndogo na gari
huwa haziko katika mwendo wa kasi... ghafla dereva wa pikipiki
alikatisha mbele yangu na katika kujaribu kumkwepa nikagonga gari ndogo
aina ya Rav 4 ambapo ilisababisha dereva wa pikipiki kuanguka katikati
ya gari zote mbili. Hiyo ndio hali halisi ya ajali niliyokutana nayo
jumamosi iliyopita.
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutunusuru wote bila majeraha makubwa zaidi ya maumivu tu ya hapa na pale.
Saturday, November 10, 2012
Justin Bieber and Selena Gomez Break Up
Justin Bieber and Selena Gomez have gone their separate ways.
wawili hao inasemekana wametengana yapata wiki moja iliyopita na hii ni kwa mujibu wa report ya E! News.
"Because of their crazy schedules, it was getting harder and harder to maintain a relationship,"chanzo hicho kimenena.
wawili hao inasemekana wametengana yapata wiki moja iliyopita na hii ni kwa mujibu wa report ya E! News.
"Because of their crazy schedules, it was getting harder and harder to maintain a relationship,"chanzo hicho kimenena.
Thursday, November 8, 2012
RIHANNA AMUONGEZA ASAP ROCKY KWENYE “DIAMONDS WORLD TOUR”…….
Ile story kuhusu WORLD tour ya
Rihanna na kuipromote albam yake mpya inayotarajiwa kudrop Nov hii hivi sasa
imefika patamu kinoma.
Baada ya kudrop single ya
kwanza inayosumbua kinomanoma hivi sasa “Diamond” Rihanna alitangaza tour
aliyooiita “Diamonds World Tour” baada ya albam kuwa kitaa na alitangaza tour
hiyo kuanza mwakani 2013.
Sasa mbali na kutoa ratiba
rasmi ya tour hiyo….Rihanna pia amemtangaza rapper aliyeanzia kwenye uongozaji
wa Music Videos…ASAP ROCKY kuwa mmoja kati ya wasanii watakaoandamana nae
kunako tour hiyo.
“We Found Love” hit maker
ametangaza tour hiyo kuanzia Buffalo, New York Niagara Center March 08 na
mipango ya kupiga shows Philadelphia
Pennsylvania, Chicago Illinois na Los Angeles California.
Na baadae tour hiyo kumalizikia
Brooklyn New York Barclays Centre May 04…tiketi zimeshaanza kuuzwa na
zinapatikana kupitia LiveNation.com.
Rumors:Guess what JAY-Z AND BEYONCE ARE PLANNING BLU IVY’S PARTY!
mapema mwaka huu Blue Ivy Carter was born. She’s already got a hit
single on her hands with poppa Jay-Z. But, story zilizopo kitaa hivi sasa nikwamba B
and J are working on Baby Blue’s first birthday.
Check Out Wiz Khalifa’s New Neck Tattoo [Photo]
Ikiwa nimoja kati ya maandalizi ya kuiachia album yake ya nne itakayokwenda kwa jina la O.N.I.F.C. album,
Tuesday, November 6, 2012
Monday, November 5, 2012
Sunday, November 4, 2012
Monday, October 29, 2012
Friday, October 26, 2012
Janet Jackson afuata nyayo za Michael Jackson, abadili dini kimyakimya na kuwa Muislam.
Mshindi wa tuzo za grammy mara tano Janet
Jackson ambae pia ni mdogo wake Marehemu Michael Jackson, ni kama anafuata
nyayo za kaka yake hata katika maswala ya imani.
Kwa mujibu wa muandishi mashuhuri wa
Uturuki, Adam Oktar, Janet Jackson amebadili dini na kuwa muislam kimyakimya na
ameamua kuwaficha fans wake katika hili.
Taarifa hii imekuja wakati Janet Jackson
anasubiri kufunga ndoa na millionaire wa Qatar ambae ni mchumba wake wa sasa
Wissam Al Mana. Na taarifa zinasema kuwa wawili hao wanatarajia kufunga ndoa
huko Doha Qatar mapema mwaka kesho kwa kufuata imani na misingi ya Kiislam.
Chanzo kimoja kimesema wawili hao
wanatarajia kutumia mkwanja kiasi cha dola za kimarekani million 3 kuzungukia
kwa ndege wageni watakaohudhuria takribani 500, na kila mgeni atapewa zawadi ya
kuonesha kumbukumbu ya ndoa hiyo na shukurani kwa kufika katika sherehe hiyo,
zawadi hiyo inatarajiwa kuwa saa ya mkononi yenye thamani ya dola za kimarekani
10,000….ambazo ni kama fedha za kibongo zaidi ya million 15 kwa hiyo saa moja.
Thursday, October 25, 2012
MEEK MILL AZUNGUMZIA JELA ILIVYOBADILISHA SYSTEM YA MAISHA YAKE
Akiwa katika mchakato wakuiachia album yake mpya Meek Mill Amezungumzia ni jinsi gani jela imesaidia kubadili mfumo wa maisha yake. meek mill ameyasema hayo alipokua akifanya mazungumzo na Shaheem Reid.na haya ni baadhi ya maneno aliyoyazungumza meek mill katika mazungumzo hayo.“Before I went to jail, I used to be a slouch,” the Philly rapper admits. “I used to smoke weed; things like that. Get high, hang on corners, play with guns—do a lot of dumb stuff. It took me to sit down in jail one time and use my brain and think. That’s the best thing jail did for me.”
Subscribe to:
Posts (Atom)