wakali hao wataperform katika tamasha hilo tarehe "12.12.12".na lengo kubwa katika tamasha hilo ni kuwapa moyo wahanga wa kimbunga cha sandy .tamasha hilo ambalo lipochini ya usimamizi wa Madison Square Garden Company, Clear Channel Media and
Entertainment pamoja na The Weinstein Company, pia lita husisha artist wafuatao Jon Bon Jovi, Billy
Joel, Paul McCartney, Bruce Springsteen & the E Street Band, The
Who, Roger Waters na wengine kibao.
No comments:
Post a Comment